Watu mbali mbali walijitokeza kumuaga Mangwea kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar leo.
Ommy Dimpoz akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Mangwea.
Wasanii mbali mbali
Wadau.
Ndugu na jamaa wa Marehemu Mangwea.
Mazungumzo ya hapa na pale.
DJ Venture akimzungumzia Marehemu Mangwea.
Wasanii mbali mbali wakiwa viwanjani hapo.
Wadau.
Ulinzi ulikuwa ni wakutosha kabisa.
thanks for giving us a sneak of what happened.
ReplyDeleteHukuwa na mali nyingi lakini upendo na unyenyekevu ulokuwa nao umewatoa watanzania maelfu majumbani mwao kuja kukuaga. Wengine kama mimi nimekuagia mtandaoni. Nitakupenda na kukukumbuka daima. Naomba mungu aniwezeshe katika udhaifu huu wa kibinadamu bado niweze kuacha legacy. Pumzika salama Albert.
ReplyDeleterafiki wa kutupa habari.nashukuru sana kaka michuzi coz umetupa pic kabili za kuuga mwili wa mpendwa wetu mangwea.tunashukuru sana na kesho tunaomba pia utupe za huko kihonda.mungu awafariji watanzania wote na ndugu ake.
ReplyDeletekila nafsi itaonja mauti japo ugumu ni nani anaetangulia R.I.P ngweah kwel tulikupenda lakin aliyekuleta duniani amekuita kwake pumzika kwa amani kaka
ReplyDelete